Almas Tower (Kiarabu:برج الماس) Diamond Tower) ni jumba refu sana mjini Dubai, United Arab Emirates. Ujenzi wa jengo hili la ofisi ilianza mapema mwaka 2005 na kukamilika mwaka 2009. Jengo hili lilifika urefu wake kamili mwaka 2008, na kuwa jengo ja pili refu zaidi Dubai, baada ya Burj Khalifa. Jumba hili lina ghorofa 74, 70 ambazo ni za kutumika kwa biashara sambamba na ghorofa nne za huduma.
Je,jumba refu zaidi nchini Dubai ni ipi?
Ground Truth Answers: Burj KhalifaAlmas TowerBurj Khalifa
Prediction: